Posts

ZIJUE FAIDA ZA KULA KABEJI MWILINI, BENEFIT OF EATING CABBAGE

Makala hii inaelezea na kufafanua Faida mbalimbali za kabaji mwilini.  Kabeji ni aina ya mboga ya Majani ambayo  huchumwa na kuandaliwa kama mbogamboga zingine, watu wengi huwa haiwependelei sana kama mboga zingine za majani zinavyo pendelewa. Mboga aina ya kabeji zina faida nyingi kwenye zaidi tofauti ambavyo wanavyo ichukulia ZIFUATAZO NI FAIDA ZA KABEJI MWILINI. 1. INAKIONDOSHA SUMU MWILINI. Vitamini C na sulfur inayo patikana katika kabeji ina saidia kuondoa sumu mwilini, viambatana SUMU ni kama kama vile free radical na uric acid katika mwili., inayo pelekea uharibifu wa cell katika mwili. Vitamini C na Sulfur husaidia kukinga cell isiharibiwe na viambata sumu kwa kuviondoa nje ya mwili. 2. KUPUNGUZA SHINIKIZO LA DAMU. (BLOOD PRESSURE.) Kiwango kingi cha madini ya potassium katika mwili yanasaidia kupunguza na kuweka mlinganyo msukumo wa damu katika hali yake nzuri kwa kuingiliana na madhara ya sababishwayo na uwepo wa kiwango kikubwa cha madini ya Sodium katika ...

FAHAMU UMUHIMU WA MAJI MWILINI

Ndugu msomaji wa makala hii ya afya na vyvyakula natumai u mzima wa afya, Leo tume amua kukuletea habari njema juu ya umuhimu wa maji mwilini mwako. Maji mwilini yana mchango mkubwa saana katika afya yako ya kila siku. Hivyo kuna umuhimu mkubwa saana wewe kutumia maji mwilini mwako.   ZIFUATAZO NI FAIDA ZA MAJI MWILINI MWAKO.  1. Kurahisisha umeng'enywaji  wa chakula mwilini.   Maji yana mchango mkubwa saana katika  mwili wakati wa umeng'enyaji wa chakula, Maji hunywewa kabla na baada ya chakula kurahisisha umeng'enyaji hivyo ni vema kunywa maji kabla na baada Ya dakika tank za kupata chakula chako. 2. Husaidia kuweka mlinganyo wa joto LA mwili wako. Maji hutumika kuregulate joto LA mwili wako, mwili unapopata joto kuzidi joto la kawaida LA mwili maji hutumika kama kupunguza au kuweka sawa joto LA mwili linalo stahili kuwepo. 3.  Kusafirisha virutubisho mbalimbali kwenda sehemu sehemu mbalimbali za mwili ambavyo vimepatkana baada ya chakula kumen...